Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
TRADESAFE LIMITED LOCATION: DAR ES SALAAM, TANZANIA POSITION: LOGISTICS PROJECT DEVELOPMENT MANAGER CONTRACT TYPE: 1-3 YEARS CONTRACT --- ROLE OVERVIEW TradeSafe Limited is seeking a...
2 Reactions
0 Replies
254 Views
Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you an Artistic and creative person? Are you an excellent communicator? Do you enjoy working with International visitors...
0 Reactions
4 Replies
240 Views
Habari za wakati huu. Majina yangu ni XX ni msichana wa miaka 25 ninaishi temeke Dar es salaam. Mimi ni mhitimu wa elimu ya chuo kikuu mwaka 2022 katika kituo kilichokuwa kinaitwa...
9 Reactions
7 Replies
435 Views
We’re looking for qualified and passionate Heads of Sports! Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you passionate about providing students with opportunities to...
0 Reactions
4 Replies
410 Views
Kwa wale watumishi wa afya kama kuna mwenye experience ya kufanya night shift Kila siku mliwezaje? Yaani wewe shift yako ni usiku tu
2 Reactions
8 Replies
580 Views
Naombeni ushauri wadau waliofanikiwa baada ya kuwaza kama mimi. Mimi ni muajiliwa(kibarua) kampuni flani kwa sababu sina mkataba wowote sasa imefika muda kazi nimeifanya kwa muda mrefu sana...
20 Reactions
60 Replies
2K Views
Habari za muda huu. Mimi ni kijana wa kitanzania. Nina umri wa miaka 25, natafuta kazi ya kufundisha kwenye taasisi ya elimu kwa ngazi ya kidato cha kwanza hadi kidato cha sita. Nina uzoefu wa...
3 Reactions
12 Replies
659 Views
Wadau naombini mnishike mkono kama kuna kazi yoyote ya kueleweka kidogo ambayo ni ya halali naombeni mnisaidie na Mimi nipate chochote kitu hata kidogo basi Nipo Dar es Salaam jinsia wakiume...
3 Reactions
13 Replies
690 Views
Position: Consultant for Technical Development of an E-learning Course Location: Tanzania (Dar es Salaam) Duration: 1st December 2024 – 28th February 2025 Application Deadline: 18th November 2024...
3 Reactions
0 Replies
782 Views
Job description SECTION I: JOB PURPOSE The Support Administrator serves as the primary contact for all incoming calls and email requests for technical support. The purpose of this role is to...
1 Reactions
0 Replies
159 Views
Wakuu habari za majukumu ya hapa na pale. Naomba kama kuna mwenye kazi au connection za kazi zote professional nimesoma kozi ya accounting with IT na ambazo si professional nafanya kwa moyo...
3 Reactions
9 Replies
472 Views
Wakuu habari natafuta nafasi ya kujitolea katika kampuni yoyote au biashara yoyote inayoweza nipatia uzoefu wa kazi natafuta uzoefu katika fani ya Kodi au uhasibu. Nipo mbeya nina shahada ya...
1 Reactions
0 Replies
255 Views
Kwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi? Tafadhali sana Karibuni
12 Reactions
160 Replies
4K Views
Hello naitwa Agnes mkazi wa Dar-es-Salaam ubungo natafuta kazi ya customer services
0 Reactions
3 Replies
341 Views
Leo nilienda ofisi moja kununua bidhaa, cha ajabu nilikuta wafanyakazi wamefungiwa kwa nje na kufuri juu. Boss ametoka (mchina) anaamini wanaweza kuiba kitu na kukitorosha. Cha ajabu wafanyakazi...
11 Reactions
21 Replies
970 Views
Kama Kichwa Kinavyojieleza Nina Uhitaji wa Nyaraka Hizo au Hata Moja kati ya Hizo Mwenye Uhitaji Nazo naomba Anisadie aje Inbox tuongee.. Hata kama Kununua Nitanunua nina Umuhimu nazo sana
1 Reactions
5 Replies
326 Views
Habari. Hatimaye Tamisemi wametoa ajira za afya kupitia sektreatarieti ya ajira na utumishi wa umma. Kiuhalisia mambo yanaenda kuwa Magumu kadri miaka inavyoenda. Itabidi watu wafanye Interview...
20 Reactions
1K Replies
58K Views
Wakuu mimi ni mgeni katika masuala ya ajira. Nimegraduate mwaka huu pale UDSM, na nimepata kazi wiki mbili zilizopita katika kampun moja pale Posta. Hawa jamaa wanataka nifike kazin saa moja...
4 Reactions
64 Replies
7K Views
Elimu: shahada ya uuguzi. Umri: 31 Jinsia: Me Location: Dar es salaam Nina uzoefu wa kutosha wa kuhudumu, naombeni kazi wakuu. Niko full licenced. Mawasiliano yangu. 0694029955 / 0718605934...
3 Reactions
2 Replies
270 Views
Wale grauate waliyoomba kujiunga na jeshi la polisi angalieni majina yenu kwenye tovuti ya jeshi la polisi, kila la kheri!
0 Reactions
45 Replies
20K Views
Back
Top Bottom