Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari jukwaa, kama kichwa kinavyojieleza naomba mwenye sample ya barua tajwa hapo juu anisaidie. Good morning.
2 Reactions
19 Replies
7K Views
Mbeya University of Science and Technology (MUST) is seeking qualified candidates for various academic positions. Below are the available job postings: Post: Assistant Lecturer – Health...
0 Reactions
2 Replies
378 Views
Naomba kujuzwa tafadhari mshahara wa CCR vodacom(erolink) na CCR airtel (Ison)
2 Reactions
87 Replies
49K Views
Mimi (Me)- fresh graduate, course husika hapo juu, Kwasasa nafanya kama kibarua kwenye kampuni Fulani ya telecom ambayo nimekuwa Kwa muda wa miezi 6. Expertise zangu Radio access network...
4 Reactions
13 Replies
532 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ,ninaomba kazi ya udereva,mkoa wa Ruvuma kwenye mashirika binafsi.Nina vigezo na uzoefu wa kazi wa miaka mitano, nawasilisha nakala hii kwenu kwaajili ya...
2 Reactions
10 Replies
484 Views
Hello drivers!!! Mlioko mkoa wa Ruvuma naombeni connection za kazi ya mashirika binafsi, nina uzoefu wa kazi kwa miaka mitano, nina leseni,cheti cha form four in short CV yangu ina kila kitu (sifa...
4 Reactions
5 Replies
445 Views
Mimi ni fresh graduate, nimehitimu katika moja chuo kikuu hapa jijini. Taaluma yangu ni ualimu I have bachelor of science with education (biology and geography). Sasa wakuu Katika harakati za...
8 Reactions
22 Replies
898 Views
Habari, Natafuta kazi ya nimemaliza degree ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es Salaam, kazi mahali au mkoa wowote. Nipo mbeya Mawasiliano: 0672876887
0 Reactions
0 Replies
281 Views
Poleni na majukumu wanajamii kwa wale ambao mmewahi kupita utumishi kufanya interview ya electrical technician TRC karibu kuchangia interview ilikuaje maswali yalioulizwa pia hata kwa wale...
1 Reactions
13 Replies
715 Views
Check Names Called for Placements at UTUMISHI (Kuitwa Kazini UTUMISHI November, 2024) – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Call For Work (Placements) UTUMISHI – Public Service...
2 Reactions
1 Replies
458 Views
Natafuta kazi ya Uhasibu mahali au mkoa wowote Nimemaliza Shahada ya Uhasibu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Na kwa sasa nipo Mbeya. Mawasiliano: 0672876887, 0627456863
0 Reactions
0 Replies
152 Views
JOB Advert (Finance & Admin./HR Coordinator – AIRD Tanzania Program) The African Initiatives for Relief and Development (AIRD) is a non-political, non-governmental organization that does not...
0 Reactions
0 Replies
180 Views
Finance Assistant, Vitamin A Supplementation Program Job title : Finance Assistant, Vitamin A Supplementation Program Location : Any country where Helen Keller Intl operates Supervisor : Senior...
0 Reactions
0 Replies
173 Views
Job vacancy: Project communication officer (EU) World Wide Fund for Nature (WWF) is an international conservation NGO with a mission to stop the degradation of the planet’s natural environment...
0 Reactions
1 Replies
199 Views
Job vacancy: Senior project lead MACP4 Job Summary WWF Tanzania is seeking a highly experienced, competent, and motivated Senior Project Lead for a coastal and marine project supported by WWF US...
0 Reactions
0 Replies
215 Views
Habari wakuu! Hivyi karibuni yametoka majina ya waliopata ajira utumishi wa mahakama, miongoni mwao wapo wahandisi kwa maana ya maengineer na mafundi kwa maana ya Technician ( civil, plumbing...
0 Reactions
6 Replies
334 Views
Shab Financial services Express inatafuta Afisa mikopo aliyeko Arusha. Awe amesoma sheria, masoko ngazi ya degree. atakayekuwa tayari apige simu namba +255 272976666 kwa maelezo zaidi.
2 Reactions
0 Replies
156 Views
Senior Operations Associate, GS7, Zanzibar, Tanzania The UNICEF Tanzania office is seeking to recruit a Senior Operations Associate based in Zanzibar. The successful candidate will be responsible...
1 Reactions
0 Replies
264 Views
Naomba mnisaidie kitu wana jamiii forum hiv moja ya malengo yangu ni kujiunga na Jeshi kuna kitu nataka nifahamu, hiv unapoingia jeshini nini huwa wanazingatia nin ili upande cheo
0 Reactions
5 Replies
581 Views
Dereva anahitajika kuendesha gari daraja la CAu D umri miaka 40 mpaka 50 itafaa kubeba wageni kupeleka airport. 0754290084
1 Reactions
3 Replies
296 Views
Back
Top Bottom