The British Government is committed to inclusivity and diversity, welcoming applications from all backgrounds and ensuring equal opportunity regardless of disability, race, ethnicity, gender...
Habari wadau, naomba niulize kwa aliyewahi kufanya interview za ajira portal, hususani hizi za MDAs kwa kada ya TOURISM OFFICER II maswali yake nitegemee yawe vipi kwa ile ya written na oral...
Natafuta kazi… ninapofanya kazi mkataba unaisha mwezi huu … ajira zimekuwa ngumu kila ukiomba una temwa
Nina elimu ngazi ya degree maendeleo ya jamii
Kama kuna mtu ana connection hata kuwa...
Happy Sunday
Binti wa sales and marketing (msichana) anahitajika kwenye kampuni.
Hakuna vigezo vingi
-awe anajua vizuri kutumia social media (instagram, facebook, x (twitter), ticktock nk.
-Awe...
Habari za weekend na poleni kwa majukumu.
Hivi karibuni kada mbalimbali za afya zilikuwa katika usaili was written na oral vikisimamiwa na ofisi ya rais utumishi wa umma
Kwanza niwape pongezi...
shamba lina kilimo na ufugaji. kilimo ni mahindi, alizeti na mpunga, mifugo ni ng'ombe na mbuzi.
makazi ni shambani hapo hapo.
shamba liko kigoma
wafanyakazi waliopo shambani kati ya 20 hadi 30...
Wakuu,
Leo miemkutana na mwanangu hapa Arusha , ambae mshahara wake ni 8 tsh milioni lakini vilio ni vingi.
Nimegundua hata uajiriwe wapi na ulipwe mshahara kiasi gani huwezi kua tajiri.
Jamaa...
Habari.
Kwa kinachoendelea hakiitaji maelezo mengi sekretarieti ya ajira (PSRS) wamekuwa dhaifu na wamelewa.
Mpaka leo kilio cha wasaka ajira kupitia utumishi ni kile kile.
1.Kuchelewa kuita...
Habari ndugu zangu, wakubwa shikamooni na wadogo habari zenu. Nasimama na kuleta hoja hii kwa niaba ya Ndugu (Brother from another Mother).
Mwaka jana 2023 huyu ndugu alifanikiwa kuomba ajira...
Job Description
KPMG and a consortium of partners is preparing to tender for Managing Agent services on a new DFID-funded primary education programme in Tanzania, Shule Bora.
KPMG is a leading...
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavyosema, natafuta kazi ya udereva, umri miaka 24, uzoefu miaka 3 leseni class D, Nimepitia chuo cha mafunzo ya udereva, nina cheti cha mafunzo na leseni pia.
Nina...
UTANGULIZI
Wakuu habari.
Naandika hii story yangu ikiwa ni mwaka sasa nipo mtaani nikiendelea na harakati za kusaka ajira mpya toka mkataba wangu wa ajira ulipoisha mnamo Desemba 2022. Nimeamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.