Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Kama heading inavojieleza hapo juu mimi ni mtaalamu wa maabara, mwenye stashahada nilijaribu kurusha ndoana kwenye ajira za utumishi nikala ndoige ya kichwa kwa kupigwa NOT SELECTED Sasa nimeona...
0 Reactions
12 Replies
622 Views
Hivi inawezekana mtu ukipangiwa mkoa mwingine tofauti na ulikofanyia oral interview?
0 Reactions
8 Replies
412 Views
Hivi wakuu Kuna post zilitangazwa na PSRS yaani utumishi kutoka TRC position ya Senior Commercial Officer na deadline ilikua October mwaka jana ila mpaka Leo hakuna call for interview shida itakua...
0 Reactions
7 Replies
535 Views
Utumishi Wana loho mbaya Sana. Walijua nitapasua. Nimekeleka Sana. bakini na ajila zenu. Mtu amejianda Zake vidhuri hamtaki kuona. Bakini huko
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Mimi ni kijana na mkazi wa Arusha mjini kwa Sasa, nimuhitimu wa shahada ya geography na mazingira 2018, Nina uzoefu wa kufanya kazi kama GIS Analyst kwa miaka karibuni 5, mbali na Hilo Nina...
1 Reactions
2 Replies
762 Views
HIV inawezekana mtu ukipangiwa mkoa mwingine tofauti na ulikofanyia oral interview?
0 Reactions
3 Replies
387 Views
SEKRETARIATI IPITIE TENA NA KUREKEBISHA MAKOSA KWA WAOMBAJI WENYE SIFA Na Josephat H +255 656 480 968 Sekretarieti ya Ajira inastahili pongezi kwa uwazi wake katika mchakato wa kutangaza majina...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Baada ya kupata kazi serikalini unaondokaje kwenye ajira yako ya mkataba uliobakiza miezi 2 uishe? Na manufaa utakayo yapata ni yapi?
3 Reactions
19 Replies
880 Views
Habarini wanajukwaa, Natafuta kazi ya usimamizi wa shamba la mifugo nina elimu ya diploma ya Afya za wanyama, nina uzoefu pia wa usimamizi wa mifugo kwa zaidi ya miaka miwili. Kwa sasa...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Mwenzenu nimefanya oral Arusha lakini sikuomba Arusha kwenye interview za afya Kiukwel nilijibu maswali yote vizuri lakini nmekosa ajira.. Sikuomba Arusha vipi inawezekana mtu ukipangiwa mkoa...
0 Reactions
1 Replies
260 Views
Anonymous (a22c)
Ushauri kwa Ofisi ya Rais sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma, (PSRS) Naomba serikali hasa upande wa serikali za mitaa utoa fursa za kuomba kazi hata kwa wahitimu wenye vyeti vya digrii...
0 Reactions
0 Replies
263 Views
House KEEPER ANAHITAJIKA. Umli miaka 22-30 Kituo Cha kazi ni Mikocheni Daresalaam Kwa mawasiliano zaidi Mshahara Mzuri + malazi + huduma zingine kama ukiumwa nk. Karibu sana UPDATES : maombi...
2 Reactions
11 Replies
506 Views
Habari za majukumu nilikuwa naulizia juu ya hizi scale kuna tangazo nimeliona limeandika PMGSS ya 2.1 napenda kufahamisha ni sawa na mshahara kias gan? Asanteni
0 Reactions
5 Replies
569 Views
The Delegation of the European Union to the United Republic of Tanzania and the East African Community (EAC) is looking for: Secretary We are The European Union (EU) is an economic...
0 Reactions
2 Replies
272 Views
Naweza kuhama kutoka wizara ya afya kwenda maabara ya mkemia mkuu.
0 Reactions
5 Replies
391 Views
Habari wana JF haya kuna walioona changes kwenye profile zao. Tiririka mwalimu mwaka wako huu
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF. Kipindi nipo mwaka wapili chuoni hawa jamaa walikuja chuoni kwetu waka tupa form tulikuwa wengi tuka zijaza. Sasa wakaanza kutufwatilia, mara wampigie mshuwa mara wanipigie...
1 Reactions
56 Replies
19K Views
Natafuta mtu mwenye experience kubwa ya kutengeneza apps, naomba nitumie samples/links za kazi zako nikiridhika nakupa kazi.
0 Reactions
9 Replies
597 Views
Habari. Natafuta kazi maeneo ya Moshi. Nmehitimu nna vyeti kwenye kada za afya. Natafuta kazi ya kuuza pharmacy au huduma nyingne zozote za afya. Pia kama kuna kazi nyingine naweza fanya Nipo...
2 Reactions
3 Replies
281 Views
DEADLINE EXTENDED! Position: Consultant Citizenship and Leadership Academy (CLA) Software Developer JamiiForums, in partnership with WiLDAF and Her Initiative, are looking for a highly skilled...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Back
Top Bottom