Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
DEADLINE EXTENDED Position: Consultant needed for Citizenship and Leadership Academy Content Development JamiiForums, in partnership with WiLDAF via the USAID's Wanawake Sasa Project, is...
0 Reactions
2 Replies
856 Views
wakuu, nimeitwa kwenye interview Exim bank kwa position ya Customer Care officer naomba mtu mwenye uzoefu anisaidie.. interview ni kesho asubuhi saa nne.. asanteni
1 Reactions
32 Replies
7K Views
Wakuu naombeni ndoano nivue samak mwenyewe Nipeni wazo niingie chimbo gani nipate Hela walau hata mkono uende kinywani Kodi inaisha, biashara ndo imekufa hivo. Nawaza na kuwazua wapi ntapata ela...
6 Reactions
19 Replies
847 Views
Hivi utumishi wanaposema MDs ndio wana maana gani? Mfano kazi za afisa biashara, mtu ukibahatika kupata ndio kusema utapelekwa huko Nanjilinji vijijini au ndio utakua Dar es Salaam tu?
1 Reactions
12 Replies
15K Views
Na Josephat H Interview And Carrer Coach +255656480968 Dar Es Salaaam, Tanzania 👉Leo ni tarehe 28.09.2024, na ni siku chache tu tangu usaili ulipositishwa rasmi kupitia barua iliyotolewa na...
7 Reactions
9 Replies
3K Views
Kutokana na hali halisi uko mashariki ya kati, Palestine, Israel, iran, Lebanon n.k. Ukitamani kua mwanajeshi uko unaonekana mzalendo na milango ipo wazi kutokana na huwalisia wa kuepo na matukio...
3 Reactions
13 Replies
470 Views
Natafuta kazi ya kuuza maduka, migahawa, supermarket n.k
0 Reactions
0 Replies
275 Views
Wanajamvi, Hayawi hayawi sasa yamekua. Naona TAMISEMI na DAs wengine wameanza kuachia mikeka. Leo ni zamu ya Dar Es Salaam. Hongereni sana kwa mliopata. Wengine tuendelee kusubiri. NOTE...
2 Reactions
1 Replies
545 Views
NDUGU zangu nimekuja kwenu najua humu ndani kuna watu wenye kada tofauti tofauti Mimi ni dereva kwa kusomea, tokea nijifunze udereva huu ni mwezi takribani mwezi wa 5....hivyo nimeshawahi kwenda...
10 Reactions
88 Replies
12K Views
Husika na kichwa cha habari, mimi ni mfamasia niliehitimisha mafunzo ya utarajali katika hospitali mbili tofauti hspa nchini Tanzania yaan Muhimbili National Hospital-Mloganzila pamoja na Ocean...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Nilifanya kazi kwenye kampuni moja ya kuuza vifaa vya ujenzi kwa miaka 5. Mwaka huu mwanzoni sikurenew mkataba kwasababu ya maslahi. Niliamua kupumzika. Wiki hii katika pitapita yangu, nimekutana...
2 Reactions
11 Replies
534 Views
Hello wana jamii Natafuta kazi ya HSE OFFICER nina cheti cha NOSCH 1 na cheti cha RISK ASSESMENT Email yangu ni: arielle_00@yahoo.com
2 Reactions
8 Replies
539 Views
Habari Wana bodi, Wakuu mimi ni muhitimu wa shahada ya kwanza ya elimu na sayansi yaani bachelor of science with education (biology and geography). Average GPA yangu kwa Semester zote ni 4.4...
2 Reactions
0 Replies
224 Views
Habari, naitwa Iman nipo Dodoma. Umri wangu ni 29. Natafuta gari la hesabu au mkataba la kufanyia tax mtandao. Number yangu ni 0673086900 Asanteni
1 Reactions
7 Replies
476 Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu Mimi ni Binti wa miaka 28 natafuta kazi ya house maid,Nina uzouefu wa kazi hii kulea watoto wa rika zote kuanzia wachanga na Nina Upendo sana na watoto,kupika...
1 Reactions
13 Replies
450 Views
Walimu wa kiswahili wanahitajika 184 walio omba ajira ni Zaidi ya 28000, usaili ukipita na kuwapata walimu wa kiswahili 184, walio faulu usaili na kuweka kwenye database watakua wengi na walio...
1 Reactions
0 Replies
267 Views
Habari zenu watanzania wenzangu. Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya Uandishi na Utangazaji wa Habari. Pia Hata kwa kazi ya kujishikiza huku nasubiri...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Hello naitwa agnes nimemaliza sheria chuo kikuu cha dar es salaam natafuta kazi 0695703354
3 Reactions
48 Replies
7K Views
Vitu gani vya kuzingatia ili kujiandaa vyema na usaili wa 'Information Officer' na 'Customer Service? Kama inavyojieleza hapo juu. Msaada please.
1 Reactions
18 Replies
596 Views
Habari ya jumapili, bila shaka mu wazima. Mimi ni dada mchapakazi, Nina elimu ya masuala ya urembo ,namaanisha nails, makeup and hair. Natamani nifungue biashara lakini imekuwa shida kupata...
2 Reactions
1 Replies
161 Views
Back
Top Bottom