Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari za wakati huu ndugu zangu. Mie ni kijana wa kiume, ninaishi Dar es salaam. Natafuta kazi ya kufanya (kibarua) aina yoyote, walau niweze kuishi na kupata chakula. Hali nayopitia sasa ni...
8 Reactions
39 Replies
2K Views
Utangulizi Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Utumishi tayari imeita vijana kwenye interview post: electrical technician II, kwa wale ambao tayari mnau zoefu na interview hizi mmeshawahi kuzifanya naomba tusaidiane kujuzana namna ya maswali...
0 Reactions
1 Replies
330 Views
Habari wakuu mwenye ako na ujuzi juu ya freelancing na online jobs msaada tafadhari
0 Reactions
2 Replies
244 Views
upcountry Kitchen taste iliyopo Kibosho -mweka kilimanjaro inatangaza nafasi za kazi ya kuhudumia vinywaji na chakula ( service). Waombaji wawe jinsia ya kike na wakazi wa Kilimanjaro au walio...
1 Reactions
5 Replies
244 Views
Napatikana kahama Nina bachelor degree, nimwalimu Bora wa kifaransa pia na kingereza. Kama munafahamu shule inayotafuta mwalimu wa kifaransa nipo nambari: 0767429275 Email: habonasalva@gmail.com...
1 Reactions
56 Replies
7K Views
Habarini wakuu kama title hapo juu inavojieleza.... nimepewa mkopo kwa mwaka wa masomo 2024/2025 lakini kuna mambo hayajakaa sawa hivyo sioni kama naweza kusoma this year hivyo basi naombeni...
1 Reactions
5 Replies
576 Views
Naombeni msaada mfano wa maswali kwenye written interview kwa waliowahi kufanya interview kama data analyst, pia system developer angalau tupate pa kuanzia
0 Reactions
0 Replies
206 Views
Naombeni msaada, sample ya maswali ya usaili data analyst na system developer
0 Reactions
0 Replies
278 Views
Ase hii mbona inachanganya sana? Yaani tarehe 27 mwezi huu nafanya wrriten interview za masomo mawili na muda ni huohuo. Kwamba niachane na somo moja? Kwasababu napiga simu zao hazipokelewi.
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Anonymous (4d93)
Habari, Ninakutana na changamoto ya kushindwa kubadilisha vyeti ili niweke vyeti vilivyohakikiwa na mwanasheria kwenye Ajira Portal ambapo inanipelekea kushindwa kuchaguliwa ninapoomba kazi...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
.
2 Reactions
1 Replies
152 Views
Check Names Called for Placements at UTUMISHI (Kuitwa Kazini UTUMISHI October, 2024) – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Call For Work (Placements) UTUMISHI – Public Service...
1 Reactions
3 Replies
435 Views
Naomba kujuzwa mtu aliyeajiriwa kwenye shirika tajwa atalipwa Tshs ngap kwa TNPSS E & TNPSS F Pia naomba kwa anaefaham scale za Ngorongoro kwa mtu mwenye degree ya IT ni kiasi gani? Natanguliza...
0 Reactions
42 Replies
23K Views
Kuna mdau hatumii JF, kachaguliwa kwenda huko Iringa, ila kaniomba nimtangazie group lake kwa waliochaguliwa kwenda huko ili mshirikiane mawili matatu wasomi nyinyi. Jiunge moja kwa moja kupitia...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Job type: Full-time Client Activation Identify and activate new clients within the assigned territory. Ensure proper onboarding and registration of clients. Customer Complaints Handling...
0 Reactions
0 Replies
156 Views
Job type: Full-time Job title: Medical Supplies Officer Department: Medical Supplies Report to: Medical supplies Manager. Date: 24.10.2024. Medical Supplies Officer Job Purpose. Medical...
0 Reactions
1 Replies
196 Views
NAPATIKANA DAR es salaam , gongo la mboto. Kazi ya uendeshaji magari pia pikipiki nipo tayari. Asante
1 Reactions
0 Replies
226 Views
Habari wakuu, Nilifanikiwa kupita kwenye interview ya kazi ya Junior HSE Officer na ninatakiwa kupeleka documents kadhaa siku ya kurepoti. Mojawapo ya documents nilizoambiwa ni NSSF number...
0 Reactions
14 Replies
527 Views
Asante utumishi Nimeludishwa mkoa nilipochagua mwanzoni baada ya kulalamika kuwa wamenipangia Kagera ambapo sikuchagua. Ahsante sana utumishi
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom