Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Kwema wazee, natafta kijana mzoefu wa biashara ya kuuza juice ya miwa awe na sifa zifuatazo Chini ya Umri wa miaka 25 Awe mzoefu wa biashara ya juice ya miwa hasa eneo la Kariakoo na Mbagala Awe...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello wadau, Mimi ni mdada nimehitimu Sociology nina uzoefu wa kutosha kwenye kazi za Social Work kwa zaidi ya miaka kumi. Kwa yeyote mwenye connection ya kazi Mwanza anisaidie. Asante
3 Reactions
2 Replies
284 Views
Kazi masaa 8 kwa siku, malipo 25,000/- kwa siku ZINGATIA *Uwe smart katika kazi *Unaezingatia vipimo katika kukata na kuunda sababu vifaa tuvyounda hata mm 1 ikikosewa inaweza kipelekea hasara...
5 Reactions
4 Replies
405 Views
Nipo kibaha,mwanaume 27YRS Naombeni connection ya kazi yoyote niweze kuishi mjini wakuu,sijabobea kwenye kazi yoyote inayohusu vyeti 100% ila nina soft skills (driving,basic computer skills etc)...
5 Reactions
10 Replies
391 Views
Wakuu natumaini mko poa. Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1. Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training...
18 Reactions
70 Replies
5K Views
Ingia kwenye tovuti ya ajira utumishi kuona matokeo yako: Public Service Recruitment Secretariat | PSRS . Pia unaweza kupakuwa pdf attachment no.1 hapo chini kuona matokeo. UPDATES: Matokeo ya...
12 Reactions
152 Replies
17K Views
Habari za weekend Wana JF. Wanahitajika Nursing officer watatu. Awe amesoma chuo cha Bugando au Muhimbili. Tuma CV yako Kwa adamsfaida@gmail.com WhatsApp +255620461297
0 Reactions
6 Replies
323 Views
Habari. Utumishi walitangaza Ajira za afya karibia 9400 na tukafanya usaili mwezi uliopita. Ila hawa jamaa wana ukakasi sana wameanza kutoa mikeka wiki hii ambalo mpaka sasa wamechukua kada kama...
2 Reactions
12 Replies
742 Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 23 Ni muhitimu kutoka chuo cha Sokoine University of Agriculture(SUA) Nina degree ya maswala ya Wildlife Management Naomba ka yeyote mwenye nafasi tuwasiliane...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu mambo vpi? Huku kukosa kazi kunatifanya tuapply kila kazi tunayoiona, ni changamoto. Niliapply kazi ya Data Entry Clerk katika kampuni inayoitwa Silverlief trading limited kupitia tovuti ya...
2 Reactions
6 Replies
590 Views
Anonymous (cad3)
Sekretariet ya utumishi wa umma(PSRS) hawapokei simu. Yaani sioni umuhimu wa wao kuweka namba za simu kama mtu unaweza kupiga kwa dakika 30 na haipokelewi. Pia mfumo haukubali mabadiliko, mfano...
2 Reactions
2 Replies
348 Views
Wakuu samahani kidogo, Naingia kwenye Ajira Portal lakini sioni sehemu ya list za majina lakini namba za interview nimepewa. Je, hapo nitakuwa nimechaguliwa tayari au?
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Kuna taasisi imetangaza nafasi ya ajira ssalary scale yao ni PTSS 10.1. sasa nataka kufahamu ni sh ngapi kabla sjaachia hii job niliyonayo isjekuwa hakuna utofauti na hapa nilipo msaada tafadhali
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba kuuliza, hivi inawezekana kuhama kutoka taasisi ya umma kwenda Halmashauri? If no, why? If yes mchakato wake ukoje? Naomba kuwasilisha. Ahsante
0 Reactions
11 Replies
701 Views
Juzi kati ilikuwa inapita barua mtandaoni ya kutaarifu kuahirisshwa kwa usaili wa kada ya ualimu. Sa mtandaoni kwenye status ajira portal haipo haionekani taarifa hiyo. Ukweli ukoje waungwana?
0 Reactions
3 Replies
648 Views
Usaili wa walimu Umehairishwa mpaka hapo utakapotangazwa. Afya mpaka leo hakuna Pdf. Je, kipi kiko nyuma ya haya? 1. Serikali haina Hela. 2. Utumishi wamelemewa. . .
4 Reactions
29 Replies
4K Views
Ajira kwa Sasa ni sawa na tatumzuka, ni uzalilishaji mtupu, kusoma kwa kutegemea kuajiriwa kunaongeza ufukara kwa wasomi, shahada saivi ni sawa na Bure. Ni Bora mwanangu asomee kipaji chake na...
4 Reactions
14 Replies
604 Views
Je inawezekana kwa mwanafunzi wa chuo anayesoma akawa anajitolea kufanya kazi kwenye kampuni au taasisi nje na chuo anachosoma Nini maoni yako na utaratibu wake ukoje, na ushuhuda kutoka kwa watu...
1 Reactions
5 Replies
237 Views
Habari wadau. Nina kazi ya kushona uniform za wanafunzi. Cherehani ninazo ila nahitaji mafundi wenye uwezo wa kushona. Dondoo za kazi ni zifuatazo; 1. Uniform ni za kike na kiume. Za Kike ni Gauni...
2 Reactions
7 Replies
399 Views
Habari wana JF. samahani kwa kuwakimbizeni. Short storyline. Nimepambana sana na application's za kupambania nafasi za kazi, ila sijabahatika ziaidi ya mara tatu. Ni mbili tu(Online business)...
3 Reactions
23 Replies
892 Views
Back
Top Bottom