Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau habari, naomba tuangazie macho kwenye hii functionality inayopatika kwenye simu za android. Kadri matoleo mapya Adroid yanavyokuja ndivyo usalama wake pia huumalishwa kwa kuwalinda walaji...
0 Reactions
0 Replies
251 Views
Habar za majukumu wana jamvi, Kwa wale wataalamu wa pc msaada wenu plz Nimenunua pc aina ya hp 450, wakati nainunua pale dukan , niliiangalia betri yake ili niweze kujua kwamba inakaa na chaji...
2 Reactions
10 Replies
597 Views
Jamani wana forum kwa yeyote anayejua namna ya kulipia VIP ACCOUNT na FOREVER ACCOUNT ili kuweza kuwa Subscribed na Channel za Canal sport naomba msaada..natumia decoder ya Starsat Kuna jamaa...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Waweza kumfundisha kasuku aseme hana uwezo na ukamzawadia zabibu kumuashiria kafaulu mtihani nae akajiona kichwa, basi ndivyo ilivyo kwa IT wetu wa Tz wanafunzi wa vyuoni na wahitimu kibao, vyeti...
2 Reactions
18 Replies
795 Views
𝗧𝗶𝗴𝗼𝗽𝗲𝘀𝗮 𝗻𝗱𝗮𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 Kampuni ya Tigo nchini Tanzania imezindua mfumo mpya wa watu kuweza kufanya miamala mbalimbali kupitia Whatsapp. Kukua kwa Teknolojia nchini Tanzania Kuna fanya...
3 Reactions
5 Replies
726 Views
Wataalamu ebu nishaurini. Nina iphone 12 pro max nataka kununua iphone 14 pro max au samsung s22 ultra. Which way should I go!
6 Reactions
63 Replies
6K Views
Kumekua na kesi nyingi za watu kulalamika kufungiwa 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 zao kila mara, watu wengi wanalalamika kila wanapojaribu ku download Whatsapp na kujiunga tu wanafungiwa nini shida ? Kuna mtu alikua...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Nahitaji kurudisha email yangu ya kwanza lakini password nimesahau. Lakini hatua ya mwisho inanishinda wananiambia wametuma Tena verification code kwenye email ninayotaka kuirudisha, hapo...
0 Reactions
5 Replies
994 Views
Habari wanaJF, kama kichwa kinavyojieleza; kutokana na mijadala mbalimbali juu ya samsung original na copy je ni njia ipi itumike kuangalia kama simu ni copy au original kwa simu za samsung. Kwenu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Salama wadau, Kama kichwa kinavyo eleza. Nina footages nili shoot sasa baada ya kuzihamishia kwenye pc kuna baadh yakawa corrupted. Video hazi play lakini ukicheck properties zinasoma nyingine...
1 Reactions
6 Replies
362 Views
Vita ya marekani na Korea [emoji44] Idara ya sheria ya Marekani (,justice department) imetoa malalamiko kwa raia wa Korea ya Kaskazini wamekuwa wakifanya kazi mbalimbali kupitia makampuni ya...
0 Reactions
1 Replies
414 Views
Mafundi msaada kidogo, nina tv yangu (smart) imekata mwanga yenyewe ila inawaka kama kawaida. Je kitu gani hapo kwenye hiyo picha kinahitaji kubadilishwa?
0 Reactions
8 Replies
820 Views
Wakuu kama kichwa habari kinavyojieleza. Simu yangu kwasasa ni mwendo wa matangazo ya 1x bet, mara magame naamua kujipumzishia zangu fuvu niingie JF matangazo yanaibuka Data ya mawazo ni mwendo...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Wanajamvi habari zenu, Jamani nimekuja hapa kuomba ushauri nahitaji kununua TV kwa ajili ya project yangu flani hivi. TV nazotaka ni hizi za kawaida kabisa kulingana na budget yangu, sasa kati ya...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
1. i phones ni gharama, Hapa sitazungumza sana, nachoomba tu nenda duka linalouza i phones mpya (sio mitumba / refurbished) kaulize bei, Inabidi uwe vizuri kiuchumi tofauti na huku android kuna...
105 Reactions
640 Replies
69K Views
Hapa nazungumzia pump za kuvuta maji kwenye visima. Nimeambiwa ipo ya solar Tsh. 150,000/- panel watt 200 na kuendelea na ya umeme pia ipo niliambiwa bei ni sawa na ya solar. Uwezo: 100m kutoka...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Jana nimekaa nikatafakari sana; Hivi ni nani anayesemaga kwamba waafrika hawajagundua chochote cha maana? Isije ikawa cha maana anachokiona yeye ni mawasiliano tu, sijui na kupaa au kurusha vitu...
4 Reactions
15 Replies
629 Views
Kampuni ya Xiaomi kwa kushirikiana na kampuni ya crowdfunding wameleta vitasa vipya vya kisasa kwa Ajili ya kuongeza usalama Kwenye nyumba au ofisini. Inaitwa smart Door lock E20 Wifi version...
0 Reactions
3 Replies
462 Views
Wakuu msaada hapa. Nimepewa simu na rafiki Ang nashindwa kufanya mambo kiwa mepesi simu yenyewe ni hii. Msaada wenu
7 Reactions
44 Replies
2K Views
Wakuu mtu mwenye utaalam na winbox ama upatikanaji wa mikrotik router au SOYEA link naomba anitafute.
0 Reactions
8 Replies
983 Views
Back
Top Bottom