Habari wakuu, msaada kwa wenye utaalam wa kuuza GB kuanzia 8 kwa unafuu! kuna softwares nazihitaji lakini sina uwezo wa kununua bundle za mitandao yetu!
Leo asubuhi kuna mtu aliingia na kutumia password na kuingia katika email yangu akidai pesa kwa kutumia signature yangu. Ameingia hadi katika sent items na kufuta zoote kiasi kwamba siwezi tena...
Wadau habari ya mchana, nimeconnect simu yangu kwenye Pc yenye virus kilichotokea nilipoichoa imefuta files zote na application zote hazifanyi kazi, na kwenye memory kuna data muhimu sana...
kuna best yangu ana apple ipad 4 amesahau password je kuna njia ya kuiformat au njia gani afanye kuifungua,c mjanja sana wa ipad na hata mimi c mzoefu nazo.Ahsante
Ndugu wana JF. Naomba kufahamishwa maana ya taa zenye rangi mbalimbali zilizopo kwenye baadhi ya mafriji. Nini maana ya taa yenye rangi ya kijani,njano na nyekundu. Pia alama ya nyota moja kwenye...
Kunahizi Icon, huwa zinatokea ktk majina na mwonekano tofauti lakini kazi moja. Utata wangu ni ipi inatokea ktk original au ni ipi ni ya ukweli inayotambulika na Apple na ni ipi nzuri kutumia na...
mwanzo ilikuwa safi,ila kuanzia juzi modem ikichomekwa kwenye port inatoa ishara kuwa imekubali kwa kuwaka taa yake Ila kwenye screen haionekani.tatizo nini wadau? na net sipati
Hard drive yangu ambayo ni main kwenye laptop yangu imepunguza storage. Zamani ilikuwa inasoma 120 gb lakini sasa hivi inasoma 75 gb.
Mwenye kujua sababu anisaidie.
Habarini wakuu?? Kuna mtu alipotelewa na simu jana, mbaya zaidi aliyoiiba anatumia simu hiyo kwa ajili ya kuwatumia watu message na kuwaomba pesa, ameshawatapeli baadhi, yaan anachofanya anaomba...
Habari wanajukwaa
Nina tatizo na HTC yangu inatumia windows os yaan haitumi chochote kwa Bluetooth wala huwezi kudownload music unless ni ndani ya whatsapp.
Naombeni msaada mwenye solution ya hili.
Wakuu kwa yoyote mwenye Details za makampuni ya Satelites za Tv duniani Naombeni mnijuze kuhusu kampuni ya Satlink Communications..is it Genuine or..ndio cheche
Wakuu natumia simu nokia E71 naomba kuelekezwa kama naweza kupata Jf app kwa ajili ya hii simu yangu hapa Jf!!
Pia naomba kuelekezwa namna ya kuweka picha Jf,.!!
Natanguliza shukrani mkuu
The EU's top court ruled Tuesday (today) that individuals have the right to ask Internet giant Google to delete personal data produced by its ubiquitous search engine.
The European Court of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.