poleni na shuguli.mimi natumia hp elitebook.tatizo juzi nilikuwa nikiwasha inaniambia window 32 file miss.restart.
kila nikirestart ola.saaa leo haiwaki..inaishia kuwaka taa ya power na feni...
WanaJF naomba msaada kwa yeyote ambaye anafahamu contact au kujua mahali alipo mjasiriamali mmoja huko kigamboni au popote anayejishughulisha na kilmo kwa teknolojia ya kutumia greenhouse.
habari wanajanvi,ninasimu yangu ni Samsung captivate glide sgh-1927,kuna muda inapata joto sana inapokua chaj,hasa Kwenye battery na upande wa camera kwa nyuma,sometime pia nikiingia ktk internet...
wakuu naomba kujua bei halisi ya hii simu mpya na uimara wake. nimetokea kuipenda hii simu. naamini nitapata majibu soon ili inisaidie kufanya maamuzi soon.
jamani ninaomba msaada wa internet nafuu, kwa sababu kila siku natumia sio chini ya shiling 2000 kununua kwa voda na matumizi yangu ni karibu 500 kwa siku nashindwa kuendesha blog yangu... naomba...
Guyz natatzo la touch kwenye cm yangu LG LTE...NTAMPATA WAPI FUNDI MZURI NA MWENYE KUJUA BEI YA TOUCH ...TAFADHAL MAANA KASIMU KANGU KAMENIRUDISHA NYUMA SANA...MSAADA PLZ
Habari zenu jaman nilikuwa naomba msaada kuhusu memory card yangu.....
Ni mpya nimenunua 8 GB..firstly ilikuwa nikiweka kwenye simu inaandika memory card damaged try to format it....
Baada ya...
habar wakuu mimi npo chuo kimoja hapa tz sasa tumewelewa wirelees internet sasa signal strength zake ni ndogo mnoo mpaka sis wa floor za juu hatupati kabisa,sasa wajuu nitumie njia gani kuongeza...
Wadau !
Airtel Nao wameona watoe Whatsapp, Facebook pamoja na Tweeter Bure !
Lakini hii haimaanishi utaweza ku access ukiwa hauna Salio (kifurushi cha yatosha)
Tofauti na walivyofanya...
wakuu naombeni msinichoke maana hii cm yng ina matatizo meng na sina pa kukimbilia zaidi ya humu,sasa leo nimekuja na tatzo hlo naomben sana mnisaidie yan mtu akinitxt kwa mfano saa 6 bas itafika...
mara nyingi nimekuwa nikiona au kusikia watu wanasoma nje ya nchi katika fani mbalimbali mfano udaktari, uhandisi, sheria nk. Swali langu ni kwa hawa wanaosomea sheria huwa wanasoma sheria za nchi...
Wakuu salama? Nisaidieni niko na gari Hyunday Getz ya 2006, manual trans, imepata shida baada ya kubadili battery radio ikalock na iko kama hii picha hapa
Codes za kwenye manual zipo ila sijajua...
All secret codes of SAMSUNG mobile phoneall secret codes of SAMSUNG mobile phone. you can break your samsung mobile phone passwords & privet lock, reset your phone, and anything you do manually...
How to disappear on the internet (Infographic) By DNA | December 12, 2013 8 Comments
Infographic Design Agency | Data Visualisation | Neomam
Source /...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.