Today, more and more service providers have started to realize the importance of encryption of online communication. They are working on certain technologies for the protection of these...
wadau naomba kuuliza hivi tanzania kuna kampuni ya USPS? na kama ipo ofisi zao kwa hapa dar zipo maeneo gani?
kuna BIDS nimeshinda so nimeona kwenye invoice wameandika kuwa wata fanya shipping...
Habari za jioni ndugu na poleni na majukumu,mimi natumia Nokia Asha 311,tatzo nilikuwa natumia huduma ya whatsapp but chakushangaza jana imenizingua na kila nikiingia whatsapp inaonyesha neno...
Wakuu katika jukwaa hili tafadhali naomba kuelewa juu ya hii biashara na huduma ya visimbusi vinavyotangazwa na baadhi ya wanajamii humu kwamba kupitia visimbusi hivyo unapata dstv, zuku...
Habari wana JF,
Niko kwenye mchakato wa kutafuta inverter ya kutoka dc kwenda ac ya watt 3000 yenye kuchukua voti 12 za dc na kutoa 220 za ac. Najaribu kutafuta kwenye mitandao ili nipate hasa...
Hbr za wknd wana jf wa tech...mm nina kasimu kang ka galaxy mega 6.3 afu kwa jins ninavyoona mm niki root simu yang kuna fiada kadhaa na hasara kadhaa...embu nijuzen faida na hasara ya ku root...
Niajeee wadau..Ebhana ninatumia simu ya galaxy S advance ila daah saivi naona inanipa kero mnoo..Iko very Slow.kila mda ina stuck.Mwanzon nilidhani labda ni application nyingi nilizonazo ila nime...
Ndugu zangu wana Jf naomba msaada simu yangu ya android ilizima ghafla sasa ina waka inaonyesha logo ya android tu yaani hakuna software wala app inayoonekana je tatizo nini na je naweza kulitatua?
Habari za jioni.
Kuna wakati ambao mtu unakua una media file (video/audio) ambayo ungependa uitumie katika simu, dvd player na portable media players.
Hapo ndipo wataalamu walipata idea ya...
Leo nmepteza siku nzima narudishiwa transanctions zangu zote na tigopesa baada ya maxicom kushindwa kuhandle miamala na kusababisha pesa kutokufika sehemu husika , hili nilijibiwa na watu wa tigo...
kwa yoyote anayefahamu maduka yenye hii simu ya tecno d1, naomba anisaidie kunifahamisha.nimejaribu maduka ya kkoo kwa kadiri ya ufahamu wangu sijaiona.
Wanajamvii naombeniii mnielekezee jinsi ya kutumia finger print kwenye laptop aina ya hp probook 4530s!! Nimedownload drives zake lakini hata siielewi bado!
Mnaodisi simu za tecno kuwa zinatumia machip cheap ya Mediatek mbona hamsemi kuhusu kuhusu tecno p3 inayotumia Qualcomm SoC ikiwa na MSM7225AB cpu, adreno 200 gpu?
Pamoja na kuwa na chip hii...
HAWA JAMAA WA KIRUSI http://torrent-tv.ru NOUMA KWELI KWELI WAMEACHIA DUDE LA KIMATAIFA (ONLINE TORRENT TV) LENYE ZAIDI YA CHANNEL 200 FOR FREE TENA UNAZIPATA CHANNEL ZAO ZOTE WALIZO ZILIST...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.