Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kaka yenu baada yakujikwamua kutoka mikononi mwa mChina yaani Tecno N3 na hatimae kuangukua peponi kwa Mkorea yaan Gallaxy ACE 2 kashindwA kuendelea kuwa ktk Line zote yaani tGo na Voda alizokua...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
:help: Habari zenu wadau, katika matumizi yagnu ya internet nimekuwa nikiingia kwenye websites mbalimbali za uuzaji wa bidhaa na kutoa huduma (mfano: amazon, ebay, ebooks e.t.c) ambazo zinahitaji...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
a baby or adult which one have high hearing capacity? follow thiz link GERMARTIN for more details
0 Reactions
0 Replies
529 Views
Msaada wenu wadau. GT wa Jf habari zenu na kama kawaida tukitatizwa tunaleta changamoto zetu hapa. Katika Resort yangu pamekuwepo na wireless internet tunayonunua toka TTCL. Ila kama miezi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
TOSHIBA SATELLITE C850-B838 INTELdual core 1.7ghz,ram 2gb,hdd 320GB.ntapata mpya kwa sh ngapi?alaf nasikia zanzibar ni bei rahisi,kweli?na sh ngapi?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
naomba kuelekezwa nifanyaje ili niweze kuzirudishia key ya F1 - F12 kufanya kazi mf F2&F3 ZITUMIKE KUONGEZA MWANGA NA KUPUNGUZA,f6f7f8 kama foward,pause na backward pia f9f10 kama volumu up and...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wengi wamekuwa wakilipa bili kubwa za umeme ambazo hata wao wanahisi sio halali ukilinganisha na matumizi yao. Tatizo la kuvuja kwa umeme limekuwa kubwa sana,bahati mbaya mafundi wengi wamekuwa...
6 Reactions
14 Replies
9K Views
wadau habari zenu naomba mnielekeze jinsi yakuattach email katika maelezo/link kama kumpa mtu aingie moja kwa moja natumia simu lakini ahsanten
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamii habari,naomba kujuzwa jinsi ya kuweza kum2mia m2 audio song kupitia gmail kwa kupitia cm ,kiukweli ni mgen kabisa katka ma2mizi ya email hvyo nahtaj msaada wenu
0 Reactions
3 Replies
991 Views
Wanajamvi nisaidieni ninazo coordinats hizi 02°31'34.2" South and 32°53'43.9" E kila nikijaribu kupata picha yake kwenye google map sipati sijui nakosea wapi. eneo hili ni Magu Mwanza
0 Reactions
16 Replies
2K Views
M2ntz.blogspot.com
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Hivi hakuna mTanzania yeyote aliyefanya CCIE kama Mbongo? nilikuwa naangalia katika website za cisco inaonyesha kuna CCIE holders 17840 (last updated 9/9/2008) worldwide lakini hakuna hata mmoja...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
wakuu leo katika pitapita nikakuta cmu samsung s duos et inauzwa 110,000Tshs bac nilishtuka kidogo nikauliza ni mchina nikajibiwa n original na kuna box lake imeandikwa 24months warranty.Je ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekua selected kujiunga na chuo cha muccobs bachelor of bussines communication & i.t nimepata ushauri kwa watu mbali mbali wameiponda kua hakuna ajira, haina maslahi, wengine wameniambia...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Salam wakuu, Nilikua na ka galaxy ace kangu lakini baada ya kukapoteza nikaamua kuswap niingie kwa bb. Sijaona wachovu kama blackberry interms of apps kwa kweli. Bb apps ni chache sana compared...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
amazing fact about human eye it is about 512mega pixel.For more details visit GERMARTIN
0 Reactions
2 Replies
763 Views
Wakuu habari za kazi natumai mko poa,Nina tatizo nyumbani la dishi nimeambiwa halifanyi kazi mimi niko nje ya Dar niko mikoani sasa namtafuta fundi mzuri mwenye uhakika na kazi yake asiwe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
baada ya watu wengi nikiwamo na mimi kusubiri kile wengi tulichokuwa tunategemea, kuwa google watazindua lini android 5.0 keylime pie, naona wameenda tofauti kabisa na matarajio ya wengi baada ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
BBC Dira TV: Kampuni ya Microsoft yanunua kampuni ya simu ya Nokia. Nokia ambayo imekuwa ikiongoza kwa kuuza simu zake, imekuwa ikisuasua hivi karibuni kutokana na simu mpya za kisasa kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wajameni nisaidieni mie kaka yenu,,Nina Laki 3.5 nahitaji Gallaxy yenye kuendana na uwezo wang huo ila pia nataka ya high quality,, Ni Gallaxy gani nzuri na wp ntapata hapa Moro,,!!??
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Back
Top Bottom