Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nauza black berry Bold 4 kwa 500.000 imetumika kidogo sana anayehitaji ani PM Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
700 Views
Hello guys! Nimepewa computer ambayo inatumia window ya 'true fast' .Nataka niformat ili niweke window xp2 ; Tatizo ni kwamba nilipoweka CD ya window, kuplace any key, baadaye zinatokea sekunde...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
tanzania
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naomba nisaidiwe,laptop yangu screen inakuwa inacheza cheza ina siku ya tatu sasa..nikiiwasha inatulia baada ya mda inanza huo mchezo.shida ni nini na solution yake ni nini naomba nisaidiwe..
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Computer forensics is a new and exiting field that is gaining popularity. Because of the complexity and legal boundaries, few truly understand what skills are required to be an effective computer...
1 Reactions
0 Replies
906 Views
Inasema start up repair -windows cannot repair this computer autmatically problem signature: problem event name: startup repair offline problem signature01 : 6.1.7600 16385 problem signature02 ...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Eid mubaraka wakuu wa JF? Samahan wakuu jins ya ku unlock blackberry smartphone 9300 Nipo njia panda wakuu sijui nifanye nn!!!! Msaada tafadhal.
0 Reactions
0 Replies
579 Views
Wadau, najua humu ndani kuna watu wenye utaalamu wa kuchora ramani. Nimependa ramani ya nyumba yenye features zifuatazo:- MASTER BEDROOM, iwe na toilets, dressing room na internal minor office...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanajf. Simu yangu haitumi sms but naweza kupokea sms. Kila nikituma inasema failed. Sijajua tatizo nataka kuona kama message center number ni tofauti kwani kwangu inasomeka +25575114.
0 Reactions
2 Replies
23K Views
Heshima mbele mkuu, kuna program (AUTOCAD) imegoma kufunguka kwenye pc yangu hapo awali ilikuwa ikifunguka na ku-function vzr tu, kama siku 3 sahv ukii-click kasa inaload 2 kwa sekunde chache then...
0 Reactions
0 Replies
809 Views
:help: Nahitaji kupata Channel local za bongo zote na za kimataifa. yaani like having DSTV + Startimes. jee do i have option ya integrated decoder ya kuweza kupata zote at the same time...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari, Nngependa tujuzane hii kitu kwa undani zaidi, hasa wale wadau wa umeme na wireless sensors kwa ujumla. Nmekua inspired na vjana watundu haswa wa mitaani tu wanaobuni simple...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tukumbushane wadau Simu yako ya kwanza kumiliki. Mi ilikuwa NOKIA 2100 mwaka 2004. Mtandao CELTEl
0 Reactions
23 Replies
3K Views
hbr jf, cmu yangu htc verizon window phone inanisumbua kudownload na kupata whatsapp, nkiingia market mtandao haitak wakat na browse fresh via opera, nkiingilia opera kudownload cjui download huwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kuchange date ya pc co ujanja ili kurun trial softwares. Sasa: download RUNASDATE hii utaipata google, kisha ucjeuka open directly icon ya program yako ilo trial but 2mia Runasdate.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nahitaji kuweka page kwenye kazi yangu hapa hasa napenda itokee hivi mf:- page 1 of 10, natanguliza shukran wakuu.
0 Reactions
3 Replies
707 Views
Mahali : InCo Technologies T Ltd, Emirate House - Shekilango Road Mda: Saa 12:30 jioni hadi 02:30 usiku; kuanzia tarehe 19 Agosti 2013 Content: Linux Essentials (LE) as per http://lpi.org Ada...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naombeni mnisaidie jinsi ya kuhuck dstv nipate hata local chanels na zyngyne! Kwani hazioneshy kabisaa!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Rais Kikwete mwenyewe kakutumia friend request?Sasa hivi mbona utajua kwa urahisi tu, shukrani kwa feature mpya ya Facebook : Verified Pages. Kama ilivyo kwa verified accounts za Twitter...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Naomba wataalamu mnisaidie,nina simu yangu nokia 2700 classic kila napotaka kudownload mafile ya pdf,inaniambia link not available.je ninatakiwa nifanye nini kwenye setting?nawasilisha
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom