HELLO JF
nimejaribu kusaka hapa na pale na nimeona website nyingi zinauza aina fulani ya connector kwa ajili ya kuunganisha modem ya tigo na external antenna.
ila sijajua hii connector inaungwa...
Natumia printer aina hiyo hapo juu imekuwa na tatizo kila ninapojaribu kuprint inaniambia "Dust bin is full, remove dust bin."
Nimejaribu kuangalia hiyo dust bin ipo eneo gani la printer...
Wana jf,pc yng ilikua ukiwasha yaleta vimsg dat internet download manager has 2 b regsterd,ambapo nkitaka download v2 vyagma mpk ni rejista IDM,asa serial namb cna,nkaamua kui uninstall,sasa nktk...
Wakuu naombeni msaada!
Nataka kununua E-book reader, nimezunguka maduka kadhaa hapa Dar lakini nimekosa. Option niliyonayo sasa ni kuagiza. Kwa wazoefu wa E-book readers, je ni ipi katika ya...
wanajamvi habarini..
Jamani hizi simu za blackberry naona zinanitesa mno,.. naomba kama kuna namna naweza fanya nikapunguza mateso haya tusaidiane pliz..
inanigomea kwenye internet kila...
Hamjambo wataalam!?
Nimechoka kunununua charger mpya kila siku kwahiyo naombeni msaada/mwongozo wa kutatua tatizo langu.Nna kimeo changu(laptop) cha HP 550 kwa miaka miwili sasa,...kinanitesa...
Ninapoandika thread hiii ninatumia modem yangu niliyochakachua muda si mrefu.kwa sasa natumia mtandao wa airtel kuwa online.if u dont bother pm me and i will help u at my conviniency...
Ndg zangu wapendwa kumekuwepo na malalamiko mengi sana kuhusiana na wizi katika zap account na m-pesa. Katika utafiti wangu usio rasmi nimegundua kwamba kuna makosa yanayo fanywa na wamiliki...
hili tatizo la kopmyuta kuwa kama kuna vitu kwa ndani vinakwaruza ama kukoroma ni nini hasa? nilishasikia sijui ni RAM imechoka vile au nilisikia vibaya? na ufumbuzi wake ili isikorome tena ni...
Quote/Source: Brandon Griggs, CNN, June 01, 2011
When it comes to radiation levels emitted by cell phones, all phone models aren't created equal.
Cell phone users -- a group that, these...
NIMEIBIWA LAPTOP, NA MORDEM YA AIRTEL. JE KUNA PROGRAM YOYOTE AMBAYO INAWEZA KUTUMIKA ILI KUJUA MAHALI ILIPO AU INAPOTUMIKA.... NINA IMEI... YAKE PAMOJA NA MORDEM.:confused2:
Nina nokia pc suit,ila sasa files naeza transfer ila net yagma,inanambia no 4nes found,pia nina bluetooth ambayo hata visibility haionesh yn!watc da prblm?
Kuna wakati unaweza kufikiria unaibiwa na mtoa huduma ya internet kwakuwa spidi ya internet yako inakuwa taratibu mno,wengine wamediriki hata kwenda kwa mafundi na kulalamika kuwa kompyuta...
Salaam wakuu wa jf,mimi ni mmja kati ya wadau wa graphics hapa jf,na nina blog yangu niliyoianzisha hivi karibuni kwa ajili ya kufanya designs za logo,banners na kazi nyingine za graphics kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.