Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Umekuwa ukihangaika na baadhi ya torrents kuwa slow kutokana na idadi ya seeders na leechers? tumia website hii kusearch for full downloads of stuffs: www.filecrop.com uncheck rapidshare...
1 Reactions
1 Replies
915 Views
Habari ndugu wana JF.. Ninafanya project kwa kutumia C sharp.. Nilikua nafungua hiyo Visual studio na nikapata error message kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu.. Nilishindwa kufungua project...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiswahili speakers can now use Microsoft windows 7 in their language thanks to Windows 7 Kiswahili interface pack launched this week in Dar es Salaam.The Windows 7 users may switch anytime to any...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Scientist at CERN have managed to trap anti hydrogen particles for little less than 16 min ,long enough to enable scientist to study its properties (emission spectrum /CPT for instance).such study...
0 Reactions
1 Replies
778 Views
Hey najua wengi mpo bize na siasa za Mbowe...!! Nisaidieni hapa: Nina dual boot(XP na MINT-JULIA) sasa hard disk moja nikilog kwenye windows haionekani,wakati nyingine zote zinaonekana na zote ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Microsoft kupitia msimamizi wake wa kitengo cha Windows, leo mchana wamezindua rasmi (at least kwa kuiongelea kidogo) OS yake mpya kabisa ya WINDOWS 8. Officially WINDOWS EI8GHT itaachiliwa...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
  • Closed
Nimekuwa nikiufuatilia sana ule uzi wiki yote, but nimeutafuta leo siuoni, what happened?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau naombeni kama kuna mtu anayo software ya MTUHA anisaidie. Ni Database inayotumiwa na secta ya Afya sana sana.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
wakuu nahitaji cartridge ya Canon Fax-L900.nimetafuta Ms na AR sijapata.PM me please for price and wapi na weza pata.Thanks in advance
0 Reactions
2 Replies
870 Views
naomben server address ya airtel.
0 Reactions
2 Replies
942 Views
nilikuwa natumia nokia 5130c-2, nilipotaka baadhi ya huduma kwenye internet wanasema ni kwa ajili ya cm zenye3G. Naomba anayefaham aina ya cm hzo anisaidie, zile za nokia.
0 Reactions
27 Replies
5K Views
nina laptop yangu aina ya accer Aspire one D255E nilibadilisha window juzi kutoka window 7 starter kwenda window 7 ultimate ilipomaliza kuinstall window files nikaingiza crack zake zen ikaanza...
0 Reactions
0 Replies
783 Views
sijui hili tatizo niweke vipi nieleweke. yaani sijui nilibofya wapi then icon %90 zinakuwa kitu kimoja-default katika kufungua program yoyote. mfano muda huu hizi icons ziko katika muundo wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
My McAfee has not been working – it does not start automatically when I boot my computer that I needed to uninstall and reinstall the application. How can I prevent this problem from happening...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nisaidieni wataalam, kuna hii msg huwaga naipata ninapofungua baadih ya site. This domain is blocked...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
This appears to be the case with a 17-year-old Chinese boy who reportedly decided that he would not give his right arm for an ipad 2, but he would give his right kidney. he said this I know, I...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF Naombaa kuwasilisha kitu ambacho nimekigundua leo. Nilikuwa na search uwezekano wa kuichakachua modem ya Zantel EC226. Nilichogundua kuwa modem za kwanza walizoziuza Zantel zote...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
wako ndugu jamaa na marafiki wengi sana wanaopenda ku tazama kipindi channel ya emmanuel Tv kutoka nigeria(The synagouge church of all nations) lakini kutonana na antena zetu hatuwezi kuishika hii...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunaomba frequnce za itv
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wana JF,nime-download movie niki-play inanipa message "This video is encripted.please download the codec from www.infoavi.com" . Lakini nikienda kwenye hiyo address siipati. Naomba mwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom