Umekuwa ukihangaika na baadhi ya torrents kuwa slow kutokana na idadi ya seeders na leechers?
tumia website hii kusearch for full downloads of stuffs:
www.filecrop.com
uncheck rapidshare...
Habari ndugu wana JF.. Ninafanya project kwa kutumia C sharp.. Nilikua nafungua hiyo Visual studio na nikapata error message kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu.. Nilishindwa kufungua project...
Kiswahili speakers can now use Microsoft windows 7 in their language thanks to Windows 7 Kiswahili interface pack launched this week in Dar es Salaam.The Windows 7 users may switch anytime to any...
Scientist at CERN have managed to trap anti hydrogen particles for little less than 16 min ,long enough to enable scientist to study its properties (emission spectrum /CPT for instance).such study...
Hey najua wengi mpo bize na siasa za Mbowe...!! Nisaidieni hapa:
Nina dual boot(XP na MINT-JULIA) sasa hard disk moja nikilog kwenye windows haionekani,wakati nyingine zote zinaonekana na zote ni...
Microsoft kupitia msimamizi wake wa kitengo cha Windows, leo mchana wamezindua rasmi (at least kwa kuiongelea kidogo) OS yake mpya kabisa ya WINDOWS 8.
Officially WINDOWS EI8GHT itaachiliwa...
nilikuwa natumia nokia 5130c-2, nilipotaka baadhi ya huduma kwenye internet wanasema ni kwa ajili ya cm zenye3G. Naomba anayefaham aina ya cm hzo anisaidie, zile za nokia.
nina laptop yangu aina ya accer Aspire one D255E nilibadilisha window juzi kutoka window 7 starter kwenda window 7 ultimate ilipomaliza kuinstall window files nikaingiza crack zake zen ikaanza...
sijui hili tatizo niweke vipi nieleweke. yaani sijui nilibofya wapi then icon %90 zinakuwa kitu kimoja-default katika kufungua program yoyote. mfano muda huu hizi icons ziko katika muundo wa...
My McAfee has not been working it does not start automatically when I boot my computer that I needed to uninstall and reinstall the application. How can I prevent this problem from happening...
This appears to be the case with a 17-year-old Chinese boy who reportedly decided that he would not give his right arm for an ipad 2, but he would give his right kidney.
he said this
I know, I...
Wana JF
Naombaa kuwasilisha kitu ambacho nimekigundua leo.
Nilikuwa na search uwezekano wa kuichakachua modem ya Zantel EC226. Nilichogundua kuwa modem za kwanza walizoziuza Zantel zote...
wako ndugu jamaa na marafiki wengi sana wanaopenda ku tazama kipindi channel ya emmanuel Tv kutoka nigeria(The synagouge church of all nations) lakini kutonana na antena zetu hatuwezi kuishika hii...
Ndugu wana JF,nime-download movie niki-play inanipa message "This video is encripted.please download the codec from www.infoavi.com" . Lakini nikienda kwenye hiyo address siipati. Naomba mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.