Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Sisi bado tunahangaika na Kilimo Kwanza! United Nations Report Declares Internet Access a Human Right By Jenny Wilson on June 7, 2011 La Rue...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hellow JF!! Umeshajiuliza kwa nini NOKIA hawajaruhusu uwezo wa kucharge simu zao kwa USB cable?!! LOh...Ukiwauliza wao wanasema kuwa ni kuwa Hawaamini Computer,na voltage zaweza change...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
.wysiwyg { BACKGROUND-COLOR: #f3f7f9 } BODY.wysiwyg { PADDING-BOTTOM: 2px; MARGIN: 0px; PADDING-LEFT: 2px; PADDING-RIGHT: 2px; PADDING-TOP: 2px } .wysiwyg HR.previewbreak { BORDER-BOTTOM...
0 Reactions
1 Replies
934 Views
Salute. Nili google AVG free antivirus na Avast nikapata lakini nilipokuwa na download baada ya kudownload AVG ikawa inadownload Cnet. Sijafaham kwa nini ilikuwa inadownload Cnet na nafanyaje ili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wanateknolojia, Ni hivi nimehangaika mpaka nimefiakia hapa lakini baada kuziupload file zangu ziweze kutambuana na database,niliitumia index.php hii hapo chini ambayo nimepewa na...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Guyz, anybody who can asssit me to dowload this Soap Opera Second Chance which was previously shown on ITV and Currently shown on Capital television
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Type: Huawei E153u-2 IMEI:352374047571628 S/N; BAA5TA113100152 THANX in advance
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kuuliza nina ile blod band ya TTCL.Kuna simu na modem hapo hapo.Nauliza inaweza kuchakachulika?kama inawezekana naombeni msaada jamani.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Enyi wadau wa sub-forum hii ya technology ni vizuri tukawa tunajulishana kama solutions mbalimbali zilizotolewa na wadau humu zimesaidia kutatua matatizo husika. Kwa mfano kama ulikuwa na tatizo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari za kazi wadau?naomba kwa mwenye keys za window 7 ultimate anisaidie,nimejaribu kutumia loaders lakini zimegoma kua activate!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hellow wanajamii wenzangu wataalamu!! Tatizo langu ni Umeme wa tanesco kuwa mdogo, nadhani ni eneo zima ninaloishi so hii inanipashida sana kwa vifaa vyangu vya umeme. Nina flat tv 32 inch...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kutokana na usumbufu nliokuwa naupata wa kuungaunga downloads,nikaamua kufanyia ka research hii kitu ya kukosa 3g signals ukienda mbali na mjini tu. Najua inawakera wengi but before we go...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Could be useful for beginners in Tech.... Product Specifications: Takes the ordinary keyboard and gives you three different ways to use it, making it great for one or two finger typists Press...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, niliona software flani sehem, sadly i lost the link! software hiyo inawezesha kumpigia mtu bure (gharama kidogo ya data) kupitia simu yako ya mkononi. Mwenye ujuzi na hi kitu anifahamishe...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kesho twategemea kuoneshwa icloud services tetesi zinasema yaenda sambamba na itunes na twaweza kupakia vitu hewani kama apps na muziki bila kuchomeka na USb. Hiyo itakuwa kivution, halafu nazani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
No offence ndugu,nimejiunga juzijuzi tu hapa ili na mimi nimwage sumu zangu kama ifuatavyo...wengi mnaijua hii njia na wengi hamuijui. Mahitaji: 1.Mozilla firefox browser Firefox web...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Natumia Nokia 2700 classic, nimejaribu kupiga huduma kwa mteja hawajapokea . Naomba msaada wenu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika vitu ambavyo vimeshika vichwa vya habari za TEHAMA wiki hii ni pamoja na kuzinduliwa kwa iCloud -- huduma ya cloud computing kutoka Apple. Najaribu kufikiri ni kwa namna gani nchi zetu za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
haya soon we will b having solar laptops!!!!hahahah,, imagine world free from tanesco kero for users watakaotumia this kind of laptop The worlds of computers and the environment usually do not...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
wakuu, nimepata software ya kurekodi maongezi yote ninayofanya na marafiki zangu automatically ila ni 14 dayz trial,naomba kama kuna mtu ana activation...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom