Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu salaam Telegram binafsi naikubali sana hasa kwa upande wa movie matumizi yangu kwenye telegram, 85% kudownload movie , 10% Music na 5% kuchati (Sina wadau wengi wanaotumia telegram) To the...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Naombeni msaada namna ya kupata play store kwenye hii simu... Play store haipo kwenye app list
1 Reactions
4 Replies
809 Views
Wapendwa natakaa kuconvert video iliziweze kuomekana kwenye tv na radio maana nikiweka kwenye tv napata ujumbe not supported. Natanguliza shukrani. Na heri ya mwaka mpya 2022
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimeibiwa simu yangu kwenye begi aina ya iPhone 7 tangia juzi na kila nikiipiga haipatikani na nimejaribu kwenda polisi naona siwalewi.. Nimeweka iCloud yangu kwenye simu ya Dada yangu kutumia...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Salam wakuu, Straght to the point. Juzi tarehe 8 kuna simu imekuwa launched inaitwa Realme GT2 Pro. inasemekana ni moja ya simu bora kabisa kwa mwaka huu wa twende twende tu. I could actually go...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari! Niko na project ya kutengeneza system ambayo itawasaidia vijana kujisajili na kuinga kwenye system(server). ·Naomba msaada wakutengeneza mahusiano kati ya PHP na Database server (MySQL)...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Kuna hii kasumba ambayo watumiaji wengi wa Internet,haswa sisi wa Tanzania tunayo.Aidha tuna amini hivi au tumeshawahi kusikia kutoka kwa watu na sisi tukawaamini bila kutafiti Na cha ajabu huwa...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu hii Ishu ya nani ni bora zaidi kati Tesla na Eistein katika Ulimwengu wa Technology, Imekuwa ni tata Sasa, kila Mtu ana mawazo yake kuhuwa wababe hawa wawili. Naomba Wataalam mtumalizie...
8 Reactions
211 Replies
15K Views
Wakuu kwa yeyote mwenye ujuzi juu ya hili naomba msaada wake DLP Projector Dell 2400MP Inahitaji password Kwayeyote anaeweza kuifanyia kazi na kunitatulia hili Basi anicheki tuzungumze...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Wadau habari,nilinunua simu (tecno-spark7) smartphone mpya K.koo,shida inaji_restart,Carlcare (mafundi maalum wa tecno phones) nimeenda bado hali ni ile ile. Duka nililonunua wanasema wanaoweza...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Nmeona offer ya Hizi simu zikiwa znauzwa maduka ya tigo,na nmevutiwa nazo kweli. sasa hofu yangu ni kwamba zinaweza zikawa locked, yaan line ya Tigo ndo inakua na nguvu tu, japo kuna mdau...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari zenu wana tech Wakuu naomba niende Moja kwa Moja kwenye mada, kiukweli ninapata wakati mgumu kuwa encourage wadogo zangu wajifunze programming/ coding. Muda wanao wakutosha kujifunza na...
4 Reactions
48 Replies
4K Views
Nimepoteza antenna (dongle) ya wireless mouse yangu. Bila hii dongle, siwezi kutumia mouse wala external keyboard yangu... Kazi hazifanyiki kabisa, maana internal keyboard ya laptop baadhi ya...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za muda wana jf mm nimeibiwa simu infinix S5pro nilikuwa nimeiweka mfumo wa track nilifanikiwa kuifuatilia muda ikawa imezimwa ila baada ya siku5nikiitrack siioni ila Imei no ninazo...
0 Reactions
3 Replies
815 Views
naombeni msaada wakuu nyumbani kwangu natumia mita za umeme za luku zile za remote..sasa ghafla umeme ndan umezima na nikiisoma remote imeweka alama ya switch iko off...tatizo linaweza kuwa nn?...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Naombeni wenye kujua mje mnijuze na je malipo ntalipaje nikiwa hapa nyumbani maana nimegundua king'amuzi cha Dstv cha South Africa ni gharama nafuu kulinganisha na hapa kwetu
0 Reactions
2 Replies
820 Views
Nahitaji simu angalau yenye unafuu kwa ajili ya dogo. Badget ni kama inavyosomeka hapo juu.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwanza Kabisa naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya Ndugu,Jamaa na Marafiki,Mimi Ni Mzima wa Afya. Kutokana na ukuaji wa Sayansi na Teknolojia duniani kote,Internet imekuwa chanzo Cha vijana wengi...
13 Reactions
25 Replies
21K Views
Habari, CEO wa kampuni la kutengeneza magari ya umeme Elon Musk hivi karibuni kupitia ukurasa wake wa twitter alipost kuhusu kupanda Kwa gharama za Full Self-Driving Software Update kuanzia Jan 17...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Kheri ya mwaka wataalam. Ninapata mkanganyiko kidogo kwenye kujua ipi itanifaa zaidi kati ya simu tajwa hapo juu. Upande wa performance, ukaaji wa chaji na mambo mengine ya msingi kwa mtumiaji...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom